Loading...

IKULU YATOA TAARIFA: Rais Magufuli Katoa Maagizo Mazito Kwa Viongozi Wote Hapa Nchini, Pia Katoa Onyo Kali Kwa Walimu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewaagiza viongozi wote wa kuanzia ngazi ya Mkoa hadi Kitongoji hapa nchini kufuatilia matumizi ya fedha zinazotolewa na Serikali kwa ajili ya kutoa elimu bila malipo kwa lengo la kudhibiti mianya ya matumizi mabaya ya fedha hizo.

Rais Magufuli ametoa maagizo hayo leo tarehe 01 Agosti, 2016 katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Mnadani na kuwajumuisha wananchi wa Katoro na Buseresere Mkoani Geita.

Katika agizo hilo Dkt. Magufuli amewaonya walimu ambao wameanza kufanya udanganyifu kwa kuandikisha idadi kubwa ya wanafunzi kuliko idadi halisi kwa lengo la kupata mgao mkubwa wa fedha za ruzuku na amesema Serikali itachukua hatua kali dhidi ya yeyote atakayebainika kufanya hivyo.

"Ninafahamu mgao wa fedha hizo hutolewa kulingana na idadi ya wanafunzi waliopo, wapo baadhi ya walimu ambao wameanza kuandika wanafunzi hewa katika shule zao, ili kusudi aletewe hela nyingi kuliko idadi ya wanafunzi waliopo, wanafunzi kama wapo laki nne yeye anasema shule yangu hii ina wanafunzi laki tano, ili kusudi hela zikija za wanafunzi laki tano, za wanafunzi laki moja wagawane.

"Napenda nitoe wito kwa walimu Tanzania nzima, mnatafuta matatizo, narudia mnatafuta matatizo, msijaribu kula hela ya Serikali" Amesema Rais Magufuli.

Pamoja na agizo hilo, Rais Magufuli pia ametaka viongozi wa ngazi zote katika Mikoa kuhakikisha wana takwimu za idadi ya wanafunzi katika shule zote zilizopo katika maeneo yao ili kurahisisha ufuatiliaji wa fedha hizo na amesema kuwa kuanzia sasa ataanza kutembelea shule kwa kushitukiza na kwamba kiongozi atakayeonekana kutojua takwimu itakuwa ni uthibitisho kuwa hatoshi kuendelea na wadhifa alionao.

"Na nitoe wito kwa viongozi wa Mikoa, Mkuu wa Mkoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi, Makatibu Tarafa, Watendaji wa Kata, Wenyeviti wa Vijiji, kila mmoja awe na idadi ya wanafunzi waliopo katika shule zao, hatutaki kuwapunja wanafunzi hela ambayo wanatakiwa kupata, lakini pia hatutaki kutoa hela ambayo haitakiwi" Amesisitiza Rais Magufuli.

Mhe. Rais Magufuli ambaye ametumia mkutano huo kueleza juhudi mbalimbali zilizofanywa na Serikali yake ya Awamu ya Tano, kutekeleza ahadi yake ya kujenga Tanzania Mpya pia amewataka viongozi na watendaji wa Serikali kutekeleza wajibu wao kwa kutembelea wananchi wanaowaongoza badala ya kukaa muda mwingi ofisini huku akisisitiza ofisi hizo kuwepo katika maeneo yenye shughuli husika.

Aidha, Dkt. Magufuli amekosoa utaratibu unaotumiwa na Halmashauri nyingi za Majiji, Manispaa, Miji na Wilaya kutumia mawakala katika ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri akisema mawakala hao wamekuwa wakitumia utaratibu huo kukusanya fedha nyingi na kisha kuwasilisha kiasi kidogo katika Halmashauri husika.

"Hivi kwa nini Halmashauri msingekuwa na maafisa wenu wazuri na mkawa na mashine za kielektroni kwa ajili ya kukusanya fedha? Amehoji Dkt. Magufuli na kuongeza kuwa;

"Tena mawakala wengine ndio hao hao wamekuwa wakikusanya kodi hata kwa wananchi wanyonge wenye vibiashara vidogo vya kuuza mchicha bila hata kuwaonea huruma"

Rais Magufuli ambaye ameongozana na Mkewe Mama Janeth Magufuli amemaliza ziara yake ya siku nne katika Mikoa ya Singida, Tabora, Shinyanga na Geita na yupo nyumbani kwake Chato Mkoani Geita kwa mapumziko mafupi.

Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
Chato

01 Agosti, 2016

Raila URGES President Uhuru to SIGN the Bill on Interest Rates into Law

Last week, Parliament passed a Bill capping bank interest rates at four per cent above the indicative Central Bank Rate (CBR). I take this opportunity to thank the MPs for this patriotic move.
This Bill comes at a time interest rates have been pushed up particularly by increased borrowing from the domestic market by the government, something Jubilee promised not to do.
The Jubilee Government’s borrowing from the local market is higher than that of any regime in the last 10 years. This has pushed individuals and corporations out of competition for money from banks, which has in turn slowed economic activity.
High commercial lending rates, often around 18 percent or more, have stifled businesses and particularly killed upstarts like youth projects. High interest rates, like the cost of power, has forced some investors to relocate to neighbouring countries with better rates.
None other than the Governor of the Central Bank Dr Patrick Njoroge has admitted that lending rates are too high and that banks should be persuaded to lower them. We have in the past adopted this root of persuasion and trusted banks to act in the interest of clients and would be clients. But banks have failed the test. A law has therefore become necessary to respond to the pain of our citizens.

After spending Sh40b in Kirinyaga, sh400m in Kisii, Uhuruto to build a Sh10b giant fertilizer plant in Eldoret

Recently, President Uhuru Kenyata went to Kirinyaga County and launched projects worth over Ks40billion.
After a week, Uhuru went to Kisii and Nyamira Counties and commissioned road projects worth a paltry Ksh400m
H.E Uhuru Kenyatta and his Deputy William Ruto will commission a Giant multi-billion fertilizer factory in Eldoret on Thursday, 4th August 2016.
The 103B fertilizer plant will be the first of its kind in the Continent and it is expected to revolutionize agriculture sector in the country.
Political pundits have questioned the manner in which the Uhuruto are dishing out big monies in Jubilee friendly zones, ignoring the anti-Jubilee areas.
The recently defected/rejected Kisii leaders lead by Senator Chris Obure and former embattled CIC Chairman Charles Nyachae will be in attendance.

MREMA (Mwenyekiti wa bodi ya Parole nchini) KIBOKO AANZA KAZI KWA MBWEMBWE, AWANYOOSHA POLISI HAWA

Mwenyekiti wa bodi ya Parole nchini, Agustino Lyatonga Mrema, amewataka madereva wa Bodaboda wasijihusishe na maandamano ya kisiasa.

Pia amewaagiza waendesha bodoboda Kinondoni wampe majina ya polisi wanaowalazimisha kutoa rushwa, atayakabidhi kwa Rais Magufuli

We WILL NOT JOIN Uhuru’s Jubilee”- Kisii Voters Tell Hon Obure and Hon Nyachae

PRESS STATEMENT;
Today angry youths from the entire Kisii region held a demonstration protesting the act of a few greedy individuals going to state house pretending that they are representing the omogusii yet they are selling our community.
It should be noted that the Nyachae team that went to state house some days ago does not represent the face of Omogusii for the following reasons;
1. Our governor was not involved
2. Youths were not involved
3. Gender bias. Women were not involved.
4. A number of mps like Manson Oyongo were not invited
5. No open agenda was shared as to what they went to do in state house
In so doing we conclude that;
1. The nyachae team went to state house to sell our community
2. The Nyachae team are using the Kisii name to enrich themselves as they have done before
3. The Nyachae team are using the kisii name to undermine others politically
3. The Nyachae team are tearing apart our Unity
Conclusion, the Nyachae team should cease to use the Omogusii name for their selfish ambition. If they believe and want unity; all stakeholders should be involved.
Thank You.
Elvis Nyakangi

TRIBAL DELEGATIONS to Statehouse Seeking Development are RETROGRESSIVE and a SHAME to Communities

Its shameful that some politicians are trapped by hangovers of the old Constitution. Tribal delegations to go to bow and worship the president in statehouse to get development are outdated and long forgotten.
The new constitution of 2010 gave us a gift of the devolved system that will channel resources to the grass roots. Let Kenyans not be trapped by lies of jubilee government that development will only come to those who support it.
Under our constitution every citizen and all regions have a right to benefit equally from national resources not just a few. The president and the deputy president don’t allocate money for development but parliament.
This year only we have witness tribal delegations to statehouse by politicians to hoodwink Kenyans that the delegations are meant to bring development. My fellow Kenyans Jubilee is destroying our country as we watch, let us VOTE THEM OUT

ALL TANZANIA NEWSPAPERS FOR TODAY


20160802_054756
20160802_054802
20160802_054810
20160802_054818
20160802_054825
20160802_054831
20160802_054839
20160802_054845
20160802_054854
20160802_054900
20160802_054908
20160802_054914
20160802_054923
20160802_054930
20160802_054938
20160802_054947
Newer Posts Older Posts
© Copyright CHUNGU CHETU | Designed By CHUNGU CHETU
Back To Top